|
Kwa kuwa
walipo wawili watatu wamekusanyika kwa jina langu, nami nipo papo hapo
katikati yao. Mathayo 18:20 …Bwana akalizidisha kanisa kila siku kwa wale waliokuwa wakiokolewa. Matendo ya Mitume 2:47 …Ninyi mwondoeni yule mbaya miongoni mwenu. 1Wakorintho 5:13 …Nisalimieni na kanisa lililomo katika nyumba yao. Warumi 16:4 |
|
Basi,
ndugu, imekuwaje? Mkutanapo pamoja,
kila mmoja ana zaburi, ana fundisho, ana ufunuo, ana lugha, ana
tafsiri. Mambo yote na yatendeke kwa kusudi la kujenga. 1Wakorintho
14:26
Kila mtu na atende kama alivyokusudia moyoni mwake, si kwa huzuni, wala si kwa lazima; maana Mungu humpenda yeye atoaye kwa moyo wa ukunjufu. 2Wakorintho 9:7 |