Watu
wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa; kwa kuwa wewe umeyakataa
maarifa, mimi nami nitakukataa wewe, usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa
umeisahau sheria ya Mungu wako, mimi nami nitawasahau watoto wako.
Hosea 4:6
Enyi
watu, nawaita ninyi; Na sauti yangu ni kwa wanadamu. Enyi wajinga,
fahamuni werevu, Nanyi wapumbavu, mpate moyo wa kufahamu. Mithali 8:4-5
Mambo ya hekima:
Mafundisho
Mambo ya
hekima: Ushuhuda
Heri watu wale
waijuao sauti ya shangwe, Ee Bwana, huenenda katika nuru ya uso wako.
Kwa jina lako hufurahi mchana kutwa, Na kwa haki yako hutukuzwa.
Zaburi 89:15-16.
Wengi
watajitakasa, na kujifanya
weupe, na kusafika; bali wabaya watatenda mabaya; wala hataelewa mtu
mbaya awaye yote; bali wao walio na hekima ndio watakaoelewa.
Danieli 12:10.