| Heri mtu yule asiyekwenda Katika shauri la wasio haki; Wala hakusimama katika njia ya wakosaji; Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha. Bali sheria ya Bwana ndiyo impendezayo, Na sheria yake huitafakari mchana na usiku. Zaburi 1:1-2 |

Ovillkorliga kraven kwa Masomo ya BibliaUungu wa KristoNi Yesu Kristo Mungu Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu?Wizara ya mwanamke katika KanisaSifa na ibada |
Kitabu hiki cha torati kisiondoke kinywani mwako, bali yatafakari maneno yake mchana na usiku, upate kuangalia kutenda sawasawa na maneno yote yaliyoandikwa humo; maana ndipo utakapoifanikisha njia yako, kisha ndipo utakapositawi sana. Yoshuai 1:8 |